Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata mimi 1gb kwa week haitoshi, sema tunajinyima tu kama tunavyojinyima kula nyama na kunywa pombe🤣
BTW sijaona dimples mda sana!
Mie najilipua 20k
Gb 12
And still simalizi weeek 4, week ya mwisho na struggle na hizo 1gb siku 3 simalizi..

Juzi kati nikaunga 4k jimixie wakanipa 3gb usiku hiyo, mchana ofisini zikakata 😀 sema hapa asubuhi nilikuwa nna kazi iliyofanya nijiwashie WiFi kwa PC

Sasa nabaki kujiuliza ni mimi au voda wananihujumu?
 
Mie najilipua 20k
Gb 12
And still simalizi weeek 4, week ya mwisho na struggle na hizo 1gb siku 3 simalizi..

Juzi kati nikaunga 4k jimixie wakanipa 3gb usiku hiyo, mchana ofisini zikakata 😀 sema hapa asubuhi nilikuwa nna kazi iliyofanya nijiwashie WiFi kwa PC

Sasa nabaki kujiuliza ni mimi au voda wananihujumu?
12gb namaliza mwezi bila shida, itakuwa wewe ni mtumiaji mkubwa wa bando.
 
Mie najilipua 20k
Gb 12
And still simalizi weeek 4, week ya mwisho na struggle na hizo 1gb siku 3 simalizi..

Juzi kati nikaunga 4k jimixie wakanipa 3gb usiku hiyo, mchana ofisini zikakata sema hapa asubuhi nilikuwa nna kazi iliyofanya nijiwashie WiFi kwa PC

Sasa nabaki kujiuliza ni mimi au voda wananihujumu?
Both Team To Score
 
Back
Top Bottom