Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Kama hivi....🥩 😁😁You got stakes hun![]()
Kama hivi....🥩 😁😁You got stakes hun![]()
😁 Wale wa Narco-Mbande wanangu sana.. hiyo njia natembea sana na huwa ni mwendo wa escort tu. sijabahatika hata kupigwa huo mkono . kipande kibaya kwangu ni Dar to Moro na kutoka Dodoma to singida.. ila Moro to Dodo huenda na nyota nacho sijawa hata simamishwa na popote huko ni 180-250kmh.. kuna siku hadi nikasema leo napigwa mkono baada ya kutoka tabu hotel nipo kama na 200 alafu nime overtake.. ila jamaa walaaa na baada mda nikarudi nikawakuta nikapunga mkono basiMkuu labda kama ulipita siku ya nyota yako.
Gairo - pandambili hakuna askari
Pandambili - kibaigwa utawakuta askari kibaigwa
Kibaigwa - Narco utawakuta askari Mtanana au pale juu ukishanyanyuka kilima cha kutokea njia panda ya Narco
Narco-mbande utawakuta pale getini, check point
Mbande - chamwino, utawakuta chinangali II au sehemu za karibu, huwa wanahama
Chamwino - Mjini utawakuta jirani na mtumba, sehemu moja inaitwa kikombo.
Baada ya hapo ni wale wa ihumwa ambao mara nyingi hawana madhara.
NB: Kuna siku nzuri, unapata askari kwenye point moja tuu out of zote hizo. Ila all in all hizo ndio point huwa wanakaa. Ila hapo tochi huwa ni point moja tuu, hawa wengine ni kuovertake kwenye mstari, ukaguzi au aamue tu kukuvizia kwa machale.
Jirani acha tu, sasa hivi naondoka kurudi kulala Moro mjini siwezi toboa hadi asubuhi , nimepatwa na flu dah! mashuka kama yame mwagiwa maji 😔😔😔Jirani umebeba blanketi au nikuletee fasta; sitaki uncle upate tabu. Sipati picha baridi la huko
Ligi ianze tu huyu mtoto kashaanza kunenepa ndyo maana mmeuziwa mbuzi kwenye guniaView attachment 2298973
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Aisee🤣🤣🤣 tuuone
Mwandiko kama unakimbizwa
Yan kuna mtu mmoja kila siku akiiona anaisifia.. ashanambia twende kwangu ukachague nyingine
Jirani umebeba blanketi au nikuletee fasta; sitaki uncle upate tabu. Sipati picha baridi la huko
Vertical elevated kind of life, enjoy![]()
Karibuni cakeView attachment 2299019
Nipo nkamu gwangu; kweli kitambo hatujaonana. You are missed too chauremboNkamu upo? Miss you
Red velvet 🥰Hiyo nyekundu huwa naipenda hata siijui ni taste gani
Hujambo jirani..
Velvet huwa ni vanilla tu na food colouring 🙂Hiyo nyekundu huwa naipenda hata siijui ni taste gani