Field miezi 4 how? Si inakua 2 months, July had November, in a maana hakuna likizo???Inategemea na vyuo na kada husika
Kwa kada za ualimu, udaktari , nursing , engineering na pharmacy field ni muhimu sana .. inabidi ufanye practical uone kazi inavyoenda .
Ila kwa vyuo vingine hawafuatili kabisa
Unaweza usiende ukajizazia tu mwenyewe
Uandike report ya uongo
Ila vingine wapo strictly mno mfano Mzumbe field ni miezi minne hadi unawazoea wafanyakazi huko
Ukikosa utaekewa dash maana supervisor lazima apite
Inabidi uwahi kwanza kupeleka maombiSasa mbna wengine huwa wanakosa nafas na sehemu za Field, huwa sijawahi elewa inakuaje.
Sijawahi kutaka kufanyia field dar, nshazoea mikoani. .Inabidi uwahi kwanza kupeleka maombi
Mfano hapa dar shida sana kupata field unaweza kosa kabisa ..
wanafunzi wengi hutaka kufanyia Dar ili wawe huru na vingine pia .
Yaani kwa course nyingine kama hr , accounts , Bba na wengine hao hawaendi field wakiwa second year .Field miezi 4 how? Si inakua 2 months, July had November, in a maana hakuna likizo???
π€£πββοΈπββοΈπββοΈπ€£π€£π€£π€£ unasemaaaa
Yaani kwa course nyingine kama hr , accounts , Bba na wengine hao hawaendi field wakiwa second year .
Wakati wa likizo wanapumzika ile wanavyoingia third year semester ya kwanza ndo wanaenda field semester yote .
Mzumbe pale tumesoma miaka miwili na robo
Duuuh hii ni hatareee, mweeeeeh.SUA usipoenda una SUPau report ukipata below 50
shule hizi ni balaa
πππ nimeiba kwa bkDyadya una mguuπ
Dar hapafai aseeSijawahi kutaka kufanyia field dar, nshazoea mikoani. .
Yeah first year tulivyomaliza semester tulikaa nyumbani miezi mitano .. tukaja kurudi huko Augustkhaaaah mbna hapa utraaamu tyuuh. Hii iko vyedi mnooo.
Field yangu haina hela, ila wafanya kazi wao huwa wakarimu, wana ni boost sana, kila nilipoenda, sijui hii ya mwaka huu itakuaje.Dar hapafai asee
Waliofanyia mikoani wenzangu walikula hela toka halmashauri huko .
Kheeeeh bas zaman hapo Mzumbe wanafunzi walikua hawakai sana Vyuoni. Mweeeeh.Yeah first year tulivyomaliza semester tulikaa nyumbani miezi mitano .. tukaja kurudi huko August
Tukasoma miezi miwili mwaka ukaisha (imefutwa sasa)
π πLecture hamalizi tuView attachment 2297578
Ooh wana roho nzuri aisee , watakupa tuField yangu haina hela, ila wafanya kazi wao huwa wakarimu, wana ni boost sana, kila nilipoenda, sijui hii ya mwaka huu itakuaje.
Katutafutie huko umlete wewe unaonekana Rafiki yake sana!Yaan nimemmic shougaaa angu hadi naumwaaah. Sijui yuko wapi.
Yeah chap umemaliza zakoKheeeeh bas zaman hapo Mzumbe wanafunzi walikua hawakai sana Vyuoni. Mweeeeh.
Yaan nashukuru wawe na moyo km sehemu zingne nilizoipita, nilifaidi sanaaa.Ooh wana roho nzuri aisee , watakupa tu
Nilifanyaga field serikali ya mtaa aisee
Walikuwa wana roho nzuri sana ..
Tukipata hela mwisho wa siku tunagawana
Unarudi na visenti nyumbani halafu kazi haichoshi full raha na vicheko
Them good old days πOoh wana roho nzuri aisee , watakupa tu
Nilifanyaga field serikali ya mtaa aisee
Walikuwa wana roho nzuri sana ..
Tukipata hela mwisho wa siku tunagawana
Unarudi na visenti nyumbani halafu kazi haichoshi full raha na vicheko
Duuuuuh ilikua hatareee, woiiiiihYeah chap umemaliza zako
Imagine tuliosoma semester kwa miezi miwili tu
Halafu mambo yalivyo mengi .