Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji28][emoji28][emoji28] kali kwakweli unaeza tamani urudi home ukasomeeeeee ni fayaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

najifunziaga hairstyle pale
UD ni noumaaaaah!!!

Ila kwa upande wa wanaume hakuna chuo kina handsomes km MUHAS,

Tall
Dark
Slim

Hata wafupi bado wanakua on [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Awwwwwwwh, aririiiiiiiiiiii.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Afu SUA ukichunguza sana watu wakigoma na mbeya ni wengi mno
Nilitaka niseme nikaogopa ukabila[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukute kachomeka shati lake sasa unaweza Sema wale Jamaa wa promotion [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Kweli bana Sema nn watoto wa UD mkifunga chuo mrudi mikoani kwenu basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Haturudi tunabaki hapa hapa Town. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie, uwiiiiiiih
 
😹😹😹😹😹
 
nimesoma pale, hamna pisi

class kwetu pisi kali yaan kareee ilikua n moja tu. Dada mweupee and vere classic/smart πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… yaan akikatiza infront of yu, unaeza tamani mbingu ipasuke uingie
Wapo bana 🀣 hamuwezi chuo kizima muwe kama mnasoma Arusha Technical


Hapa nilipo asilimia 75 ya staff ni from SUA… na ninaona ni pisi tu za kawaida..
 
UD ni noumaaaaah!!!

Ila kwa upande wa wanaume hakuna chuo kina handsomes km MUHAS,

Tall
Dark
Slim

Hata wafupi bado wanakua on [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Awwwwwwwh, aririiiiiiiiiiii.
Wakaka wa MUHAS ni hatariiiiii ⚠️ yaani mfano tu ukiwa pale hospitali wale wanaofanya field na makoti yao daah 😍😍😍😍
 
Wapo bana 🀣 hamuwezi chuo kizima muwe kama mnasoma Arusha Technical


Hapa nilipo asilimia 75 ya staff ni from SUA… na ninaona ni pisi tu za kawaida..
hapa tunaongelea pisi kweliπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… wachana na hao wa kawaida

Ile pisi ukitoka na bf ikapita unakosa amaniπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

ila maisha bhana daah

tuishi humohumo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…