Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji16][emoji16]pole Ila wengi sa hv wameuza uza wanabai wabishi tu kule wanaokomaa na jiji
Ila dar Kila Kona kuna uswahilini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] life la Temekeee tamuuu. Acha kabisaa.
Kule ndo kunanifaa mie.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani wewe umenichekesha
Unaanzaje kuwa na amani labda[emoji23]
Masaki hapana kwa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee Amani haiwezi kua, hadi unajiuliza watu hawa pesa wanatafuta au wanazoa. Khaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…