Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa ruvu na wewe Ni wa kunisumbua?

Mgonjwa aliyepo msange Ni Bora kuliko wazima mlioko ruvu.
Waliwazoa mibonge mmeenda huko kula tu mkarudi vilevile
.
Ningekuelewa Kama ungekuwa umeenda kanembwa
 
Ndiyo ya mujibu wa sheria marahisi sana,, kuna mtu aliniambia ukifika kule monduli unakutana na makamanda ya kimasai na kikurya yamepanda hewani miili utafikiri nyumba halafu ndiyo yanawapigisha course sasa leta fyoko uone..

Ukiingia ndani ya lile geti wewe siyo mtu ni mnyama
Sikuwakuta.

Haki za binadamu zinaishia getini
.
Yale ya kwetu naona yalikuwa marahisi..nilikuwa nashinda shamba kulima matikiti
 
nina jirani yangu alienda kanembwa bonge karudi vile vile na hakuwa mgonjwa sasa sijui unataka kusemaje labda
 
look at ya
 
Unakuwa mnyama

Basi kuna mtu nahisi anayafanya hayo maskini na alivyokuwa mzuri halafu anageuzwa kuwa mnyama

Kina Sanchez magoli Mungu anawaona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…