nyoo halafu unanicheka mimi niliyeenda kwenye kambi ya wangojwa wakati mwenzio kwenye graduation nilikuwa kwenye kwata aise tulipractice karibu mwezi mzima na yale madude ilifika kipindi tukawa tunaweka vitambaa kwenye mabega maana mifupa ya mabega ilianza kuuma
Ndiyo ya mujibu wa sheria marahisi sana,, kuna mtu aliniambia ukifika kule monduli unakutana na makamanda ya kimasai na kikurya yamepanda hewani miili utafikiri nyumba halafu ndiyo yanawapigisha course sasa leta fyoko uone..
Ukiingia ndani ya lile geti wewe siyo mtu ni mnyama
Ndiyo ya mujibu wa sheria marahisi sana,, kuna mtu aliniambia ukifika kule monduli unakutana na makamanda ya kimasai na kikurya yamepanda hewani miili utafikiri nyumba halafu ndiyo yanawapigisha course sasa leta fyoko uone..
Ukiingia ndani ya lile geti wewe siyo mtu ni mnyama
Ndiyo ya mujibu wa sheria marahisi sana,, kuna mtu aliniambia ukifika kule monduli unakutana na makamanda ya kimasai na kikurya yamepanda hewani miili utafikiri nyumba halafu ndiyo yanawapigisha course sasa leta fyoko uone..
Ukiingia ndani ya lile geti wewe siyo mtu ni mnyama
wapi wewe sasa ndiyo kama hivyo ulienda ukaishia kuwa unamwagilia matikiti tu hivi ulienda hata route march na syndicate wewe?? Na ulivyo mvivu kutembea!!
wapi wewe sasa ndiyo kama hivyo ulienda ukaishia kuwa unamwagilia matikiti tu hivi ulienda hata route march na syndicate wewe?? Na ulivyo mvivu kutembea!!