Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,584
- 235,438
Sasa ruvu na wewe Ni wa kunisumbua?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyoo halafu unanicheka mimi niliyeenda kwenye kambi ya wangojwa wakati mwenzio kwenye graduation nilikuwa kwenye kwata aise tulipractice karibu mwezi mzima na yale madude ilifika kipindi tukawa tunaweka vitambaa kwenye mabega maana mifupa ya mabega ilianza kuuma
Au tujipendekeze nini na sie tuambulie hata harufu ya mema ya nchi
Mnh utayaweza mama??
Not until I see them snaps😝😝🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]nigga die
Sikuwakuta.
Haki za binadamu zinaishia getini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Yale ya kwetu naona yalikuwa marahisi..nilikuwa nashinda shamba kulima matikiti
Doooh[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Hiyo hasara sana.
Ila kweli...hata kudate na rubani Ni kujitafutia vidonda vya tumbo
Unakuja lini eti nikupeleke ukashangaee
Mtafute yule wa air tz aliyeleta chombo toka Canada[emoji23][emoji23].[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndiyo lakini mimi natamani aisee
Sasa ruvu na wewe Ni wa kunisumbua?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mgonjwa aliyepo msange Ni Bora kuliko wazima mlioko ruvu.
Waliwazoa mibonge mmeenda huko kula tu mkarudi vilevile [emoji23][emoji23].
Ningekuelewa Kama ungekuwa umeenda kanembwa[emoji1787]
Ndiyo ya mujibu wa sheria marahisi sana,, kuna mtu aliniambia ukifika kule monduli unakutana na makamanda ya kimasai na kikurya yamepanda hewani miili utafikiri nyumba halafu ndiyo yanawapigisha course sasa leta fyoko uone..
Ukiingia ndani ya lile geti wewe siyo mtu ni mnyama
Unakuwa mnyama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo ya mujibu wa sheria marahisi sana,, kuna mtu aliniambia ukifika kule monduli unakutana na makamanda ya kimasai na kikurya yamepanda hewani miili utafikiri nyumba halafu ndiyo yanawapigisha course sasa leta fyoko uone..
Ukiingia ndani ya lile geti wewe siyo mtu ni mnyama
Ndo nini eti jamani[emoji36][emoji36][emoji36][emoji44][emoji44][emoji44][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24]
Unaenda wapi eti[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Nataka kusema ruvu kambi ya wagonjwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nina jirani yangu alienda kanembwa bonge karudi vile vile na hakuwa mgonjwa sasa sijui unataka kusemaje labda
Haya[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]hata sijui dada Mungu akijalia tu nitakuja
Mtafute yule wa air tz aliyeleta chombo toka Canada[emoji23][emoji23].
Ni kijana mdogo na Hana familia ila anawaza kuwa na familia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Ulishindwa hata kumtafuta yule Mtoto wa mabeyo shoga[emoji1787][emoji1787]
Unakuwa mnyama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi kuna mtu nahisi anayafanya hayo maskini na alivyokuwa mzuri halafu anageuzwa kuwa mnyama[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kina Sanchez magoli Mungu anawaona[emoji23]
Nataka kusema ruvu kambi ya wagonjwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanawake wa shoka tulienda msange[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wapi wewe sasa ndiyo kama hivyo ulienda ukaishia kuwa unamwagilia matikiti tu hivi ulienda hata route march na syndicate wewe?? Na ulivyo mvivu kutembea!!