Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,108
- 41,777
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Yooooo mke wa wazir Mama mapesa mamaaa mwenye signature kwenye Ndege ya airforce one
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Hahaha vp lkn mzma wwSisemi uongo kweli
Bado sana ndo kwanza nipo kama mchicha
OwkeyyyVocha yko ipo usijali bado niko ndani nikitoka tuu nje.
[emoji1]Mmetuacha lkn still hali sio nzuri π₯² View attachment 2292357
Ndo mwenyekiti wetu huyo wa vitambi
Mtoto mzur kama ww huwez lala mwenyewe boss unanizuga unaamkia kwenye airforce one unalala five stars Hotel[emoji38][emoji38][emoji2960]jmn
Nalala mwenyewe haya nimefanya nn
π€£π€£π€£π€£π€£ππ€£πππNa hii baridi, litanisaidia nikiwa huko jelaπ
πππ
Ila tv ni anasa, endelea tu kutokua nayo inasaidia kukuepusha na mengiπ€£
Tutakupa tu mchango wa glass, ndio tusije kukutembelea ukatutengea maji ya kunywa kwa bakuli linanukia samakiπ
Nipo poa na wewe
Raha kuwa na kitambi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie nyie haya bana[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Ndo mwenyekiti wetu huyo wa vitambi
Ila sitaki kusema sana ila raha tu [emoji23][emoji23]
Miss you too wifi yangu kipenziWifi angu
Miss u
Morning
Morning.Tin morning
Ziheshimiwe kwakweliπNancy tena π€£π€£
Hizi cameras inabidi tuzishtaki π₯°
Alinambia mpigie mjomba zxxx nikamwambia naomba namba yake ππUlifanyaje adi akakushushuaπ
Taarifa za nchi utazipata huku jfππ€£π€£π€£π€£π€£ππ€£πππ
Nakosa Taarifa za nchi mjue? Emu fanyeni logistic bana
Samaki? Ni anasa π mtasikia bakuli ina harufu ya tembele
π€£π€£π€£ salamaleko βTaarifa za nchi utazipata huku jfπ
Hahaa tembele kwa afya, kazana kulilaππ
Ni usingizii, ngoja nilale mie badae niamke nikaote jua π
Boss ww ni mzur bana hakika umeumbwa ukaumbika uliumbwa siku ya pekee ako boss wanguHapa? [emoji28]View attachment 2292379
Niko poa sana aunt yanguOoh poa mzima lkn
Ila hawa mama zetu wa kiafrika sijui kibongo ni wanapenda kucomplicate mambo jamaniππAlinambia mpigie mjomba zxxx nikamwambia naomba namba yake ππ
Si ndio akashangaa.. hata namba huna?
We unasalimiaga ndugu zako kweli
Mama aliongea hiyo siku π
ππππ mr misifio hoyeeeeeeee π€Boss ww ni mzur bana hakika umeumbwa ukaumbika uliumbwa siku ya pekee ako boss wangu
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app