Wewe una bangi kichwani sio Bure[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukazunguke na li Etihad [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..kwanza ujasiri wa kufurahi unautoa wapi chombo kimeshindwa kutua[emoji23][emoji23][emoji23].
Nina wasiwasi ulitamani juzi Kati ungekuwa kwenye air tz iliyokuwa ikienda mwanza iliyopata hitilafu na kurudi kutua dar
Hapo wapi? Sakayo
JamaaaniiiiUnanitamanisha sana ujue...
Kijijini kwetu mkuu!Hapo wapi? Sakayo
Hahahahahaha
Vya watu hivyo auntie
Ndiyo.
Sehemu ninapokwenda hapaniruhusu kupanda hiyo chombo.
Mimi safari ndefu yaani hata safari ya posta Hadi mbezi kwangu ni ndefu[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Hahaha...[emoji848]
Hahahaaa almanusura
Unisababishie ajari kazini
Ujue nimebeba kifaa cha watu
I love the nature.
Nina Hadi mswaafu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wacha wee kwahiyo mwenzetu quran yote ipo kichwani?? Sasa unasubiri nini kuolewa na Al Watan wetu jamani??
Ndiyo.
Sehemu ninapokwenda hapaniruhusu kupanda hiyo chombo.
Mimi safari ndefu yaani hata safari ya posta Hadi mbezi kwangu ni ndefu[emoji1787]
Sawa mkuu
Karibu tupate chai na magimbi
[emoji120][emoji120][emoji120]I love the nature.
Mazingira tuyatunze na kuyapenda, ili tuiche dunia kama tulivo ikuta.
Hongera sana kwa utalii wa ndani.
Ilikuwa mwezi uliopita nadhani.Daah aise sijasikia hiyo yaani ningekuwepo ningefurahi sana
Hahahaaa yani wewe ulivyo Mayai mayai utaweza galagala kwenye tope kweli.Doh nimekuambia na mimi nakuja huko nifanyie mpango basi mkuu
Hi everybody View attachment 1254003
Yaani mimi kutoka iwambi Hadi uyole tu Ni shughuli pevu.[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]posta na mbezi tu?? Na ukizingatia zipo mwendokasi za mbezi to kivukoni au unaongelea mbezi beach??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanachukuaga wadada wazuri tu mkuu kisura na kiumbo