Selfika na JF: Snap it. Show it

Aunt mm nikikutoa out naenda na hesabu kmili kunywa elf 10 ukizidisha bill juu Yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi niambie utanipeleka wapi? Siku ya kwanza napanda ghorofa tena O level, nusu nianguke kwa kizungu zungu?
Ushamba mzigo, sehemu za watu wengi sitakiiii.
 
Nkamu na baba yetu[emoji7][emoji7]
Anastahili pongezi huyo Mnyaki wallah [emoji122][emoji122]
Aling'oa chombo haswaaa
Furahieni maisha
Maisha ni matamu sana nkamu

Asante sana Nkamu
uwe na usiku mwema wewe na familia
[emoji1545][emoji1545]
 
Basi nisamehe bureeee,
Yameisha hayaaa.
 
Mnisamehe, yaan najaribu kuacha u kiropo ropo ila siweziii.
Bas tafrani tupuuuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kawaida tu ujue,itafika kipindi unaacha[emoji23]
 
Kawaida tu ujue,itafika kipindi unaacha[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu aliwahi nambia wee jifanyee eti ooh unafiki siwezi, mara msema kweli, itakuja mdomo uwe kisogoni, utapata akili.
Naogopaga mnoooo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi niambie utanipeleka wapi? Siku ya kwanza napanda ghorofa tena O level, nusu nianguke kwa kizungu zungu?
Ushamba mzigo, sehemu za watu wengi sitakiiii.
😂😂Usinikumbushe
Nilimtembelea rafikyng ofisin kwao akanipeleka restaurant kunywa chai Bomba silielew
Nikashndwa kufungus Bomba nikasema usinitanie nikamuita mhudumu hebu njoo nifungulie 🤣🤣🤣ninawe nikale

Sema sikumsimulia angenicheka falayule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…