Selfika na JF: Snap it. Show it

Aunt mm nikikutoa out naenda na hesabu kmili kunywa elf 10 ukizidisha bill juu Yako
hivi niambie utanipeleka wapi? Siku ya kwanza napanda ghorofa tena O level, nusu nianguke kwa kizungu zungu?
Ushamba mzigo, sehemu za watu wengi sitakiiii.
 
Nkamu na baba yetu

Anastahili pongezi huyo Mnyaki wallah

Aling'oa chombo haswaaa
Furahieni maisha
Maisha ni matamu sana nkamu

Asante sana Nkamu
uwe na usiku mwema wewe na familia
 
Basi nisamehe bureeee,
Yameisha hayaaa.
 
hivi niambie utanipeleka wapi? Siku ya kwanza napanda ghorofa tena O level, nusu nianguke kwa kizungu zungu?
Ushamba mzigo, sehemu za watu wengi sitakiiii.
😂😂Usinikumbushe
Nilimtembelea rafikyng ofisin kwao akanipeleka restaurant kunywa chai Bomba silielew
Nikashndwa kufungus Bomba nikasema usinitanie nikamuita mhudumu hebu njoo nifungulie 🤣🤣🤣ninawe nikale

Sema sikumsimulia angenicheka falayule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…