Selfika na JF: Snap it. Show it

Badae inabidi tuweke kikao mahala shangazi.. najua wewe na mjomba wako hakuna linalo shindikana 😎
Weee ulivo mkorofi hivo mjomba πŸ˜‰!! Haya kikao kikianza nijuze mjomba wangu mzuri mie!
 
πŸ˜”πŸ˜”Jamani, isijrudie tena vidole vizuri hivyo kupata mushkeli..

Kizuri hicho ki maroon wauzaji wanasemaje.. wanaviita washa moto πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nakutumia location ya Juzi mjomba usitoke πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚!!
 
πŸ˜”πŸ˜”Jamani, isijrudie tena vidole vizuri hivyo kupata mushkeli..

Kizuri hicho ki maroon wauzaji wanasemaje.. wanaviita washa moto πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”

🀣🀣🀣🀣🀣 Hivi ehhhhh??? Wako vizuri 😁
 
Mie mkorofi kwa wengine tu Shangazi.. ila kwako aaah.. nakuwaga nafata protocol tu πŸ˜€ πŸ˜€
Mnasemaga hivohivo after sometime mnakengeuka setakeeeeeeeeπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ!
Moyo wangu ushatulia saivi mjomba usinikoseshe amani mie!! πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£ mambo za kuchat limitations nehiii Mara ukitoka online Moja kwa moja polisi kujitetea sizitaki tenaaaaa mie πŸ˜‰!! Am free and Happy again!!
 
Bye shangazi πŸ˜” πŸ˜” πŸ˜”
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£Basi situmi mjomba usiondoke si unaona wana selfika wengine bado wako likizo naona tangu jana mie na Depal ndio tumeshikilia zamu selfika πŸ˜‚πŸ˜‚unatuachaje pekeetu lakini?!! Haya situmi mjomba wangu mzuri njoo!!
 
😎 😎 hayo mambo ya teenager shangazi. sie mabazazi wala hatuna hayo mambo ya kufatana fatana kama mkia... uhuru wake na furaha yako ni kipaumbele changu kabisa shangazi πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£Basi situmi mjomba usiondoke si unaona wana selfika wengine bado wako likizo unatuachaje pekeetu lakini?!! Haya situmi mjomba wangu mzuri njoo!!
Shangazi, natupia badae shangazi usijali.. hapo sawa na kituma usinitag Shangazi nitasikia ushunguuu sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…