Shangazi mie nipo tayari hata kuwa reserve kikosi D, nitavumilia tu.. Mrusia akisafiri unakuwa unanituma tuma tuu.. marafiki zako watakuelewa tuu shangazi.. Mjomba wako hana shda kabisa. mjomba wako ana roho ya kimalaika Gbariel hana makuuHahaha... mrashia wangu anitosha mjomba moyo wangu ni mdogo sana hautoshi Watu wawili mjomba!! π Usinigombanishe na rafiki zangu mjomba!!
Shangazi unajua namaliza nusu mwakaa vile.. π π mie na wewe shangazi najua tutaweka azimia letu tumetoka mbaaali sana kama nyuki na mauaSiwezi humu nimeshatoka kitambo mie . Learning through mistakes mdogo wangu!!
Halafu hii si ni chitchat tu lakini hakuna uhalisia hataπππ€£π€£
πππ€£π€£π€£ Akili zako sasa mjomba mwenyewe!!Acha shangazi alee wajukuu tu mjomba wewe enjoy with whoever you feel to be with.. Warembo wapo wengi sana humu au nikutafutie???Shangazi mie nipo tayari hata kuwa reserve kikosi D, nitavumilia tu.. Mrusia akisafiri unakuwa unanituma tuma tuu.. marafiki zako watakuelewa tuu shangazi.. Mjomba wako hana shda kabisa. mjomba wako ana roho ya kimalaika Gbariel hana makuu
Anza kuselfika kwanza..Nianzie page ipi?
Mie mwenyeji sana humu. Mapichapicha yangu yapo kama yote. Hapo vipi?Anza kuselfika kwanza..
Halafu plan yako si ipo pale pale wee mjomba kufika twenty twenty three ukiwa clean kabisa mjomba!! Kumbuka hio goal yako ujue!!Shangazi unajua namaliza nusu mwakaa vile.. π π mie na wewe shangazi najua tutaweka azimia letu tumetoka mbaaali sana kama nyuki na maua
Warembo hawanitaki, ndio maana nipo miguuni pako Shangazi.. achana na watoto watoto hawajui maisha, tuje tulee wa jukuu hata nikiwa wa mpito tu.. kuwa naserikali ya muungano Shangazi ( serikali tatu ) π π ππππ€£π€£π€£ Akili zako sasa mjomba mwenyewe!!Acha shangazi alee wajukuu tu mjomba wewe enjoy with whoever you feel to be with.. Warembo wapo wengi sana humu au nikutafutie???
Hapana shangazi sitaki kuonaaa.. nitasikiaa ushunguuuu.. maaana nita imagine sana, hadi nishindwe kulaaaHalafu plan yako si ipo pale pale wee mjomba kufika twenty twenty three ukiwa clean kabisa mjomba!! Kumbuka hio goal yako ujue!!
Acha shangazi aenjoy na big boy wa kitaa weekend nilikua nae location moja mattatta sana mjomba!! Uliona!!!??
Pole Malaika Lizzy , umejigonga wapi, nije niaparudishie hawezekani.. kihujumu vidole vizuri hivyo..Nations nipe polee nimejigonga mguu ukucha unakaribia kutoka π₯Ίπ₯ΊView attachment 2281823
Umezingua hapo..Mie mwenyeji sana humu. Mapichapicha yangu yapo kama yote. Hapo vipi?
Usisuse bana ππSiwezi humu nimeshatoka kitambo mie . Learning through mistakes mdogo wangu!!
Halafu hii si ni chitchat tu lakini hakuna uhalisia hataπππ€£π€£
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ kupatwa kwa Shangazi ππ€£ππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈHapana shangazi sitaki kuonaaa..nitasikiaa ushunguuuu.. maaana nita imagine sana, hadi nishindwe kulaaa
Na Kususaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£! Mie nikisisa nimesusa kweri kweri sirudi nyuma kama kula wacha wengine wale kwa amani tu mdogo wangu!!Usisuse bana ππ
Yes humu kila kitu ni chit chat aka inasemekana.
Badae inabidi tuweke kikao mahala shangazi.. najua wewe na mjomba wako hakuna linalo shindikana ππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ kupatwa kwa Shangazi ππ€£ππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈ
Wale kitu gani? π€K
Na Kususaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£! Mie nikisisa nimesusa kweri kweri sirudi nyuma kama kula wacha wengine wale kwa amani tu mdogo wangu!!
Huko kwa Wazanzibar ππPole Malaika Lizzy , umejigonga wapi, nije niaparudishie hawezekani.. kihujumu vidole vizuri hivyo..
Mie nipo na maroon tu.. ni π₯π₯π₯π₯π₯ unajua hakika
wale maziwa maziwa na mayonaizi na pipi kirunguWale kitu gani? π€
Natakiwa kufanyeje? Nipe maelekezo timilifuUmezingua hapo..