Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,221
Maisha ndio hayahaya shos angu!!Shougaaa angu weekend ya jana, ulifaudu mnoooo.
, kura raha mama, maisha mafupi.
Maisha ndio hayahaya shos angu!!Shougaaa angu weekend ya jana, ulifaudu mnoooo.
, kura raha mama, maisha mafupi.
Miss you more bina!!
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.
Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati tunakuwa wavivu kujibu hoja kwa maandishi ama kuchangia. Solution hii HAPA sasa. Utashangazwa na matokeo yake...!!!
Utajikuta kwenye ulimwengu wa furaha isiyo kifani. Fanya hivi, hapo ulipo tupia picha yako ya sehemu yoyote mwilini. Epuka picha yenye kuonesha sura kwa sababu za wazi kabisa. Mimi nitaaza na hizi.
Naenjoy sana jf nowadayscoz na uncle (mshana) na auntie angu mzuri (antonnia) na cozu msumbufu (coca)
family inazidi kukua


dogo nitakubonda wee, afu nimekumic mnoo.
dogo nitakubonda wee, afu nimekumic mnoo.
😅😅😅😅😅😅😅😅
Mis u moreMic u broohzzz.
Shost umeona kipa huyoo?
meona sasa mekumic pia



yaan nimekumic, ila ukiniuzi nakubondaaa