mate usinichekeshe, sometimes life la chuo lina fanya mtu u enjoy, nimekumbuka kuna dada m1 wa class letu alimchuna kaka wa LLB ilifika hatua anaomba tena kwa demu hela ya kufanyia mambo yake, yaan amkope uwiiiih.
mate usinichekeshe, sometimes life la chuo lina fanya mtu u enjoy, nimekumbuka kuna dada m1 wa class letu alimchuna kaka wa LLB ilifika hatua anaomba tena kwa demu hela ya kufanyia mambo yake, yaan amkope uwiiiih.