Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
PoleSema kweli mkuu??
Mimi nilikua na troti nalivutia jimbo kasi kumbe limeshanyakuliwa??
Madam Christine1 njoo uthibitishe huku
Ongea na mzabzab
PoleSema kweli mkuu??
Mimi nilikua na troti nalivutia jimbo kasi kumbe limeshanyakuliwa??
Madam Christine1 njoo uthibitishe huku
Nimfishe kwani naishi nae 🤷🏼♀️@Nations
Kila mtu anyooshe kivyakeTupo wengi jirani...
Vijiwe vya pombe hivi alaf unasema umeacha pombe dogoFanya wakawaka braza
Jicho hilo kwa avatar .... ( Jokes)
🤣🤣🤣🤣😘😘😘😘😘😘Naogopa baba kijacho asigundue kama ndiye mimi 🤰🏾
Aiseeee kama ni mchizi simuwezi blaza🙌🙌🙌
Mambo gani sasa hayoKila mtu anyooshe kivyake

NimeachaVijiwe vya pombe hivi alaf unasema umeacha pombe dogo
Umemuangusha sana mchungaji Geodevi kwa kweli
Mwamba mwenye nguvu😁Mwamba gani?
Jirani...mitaa yako hiyo?Nimeacha
Mataa I meant pale dry cleaner’sheli ile njia ya chini… kuna pombe pale??
Kijenge… round about
Wakawaka… kuna choma, wana menu poa, pia kuna chapati amazing sana
Wapi pombe iko? 🥲🥲
@Tinsley mdogo wangu upoJicho hilo kwa avatar .... ( Jokes)
Napitaga tu jirani 😂Jirani...mitaa yako hiyo?
Nipo Shem
Hahaaha aminia mkuu
Ntakuja kutembea huko nipajue jirani..Napitaga tu jirani 😂
Nawe pia🙏Usikumwema fam 🤍