Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Hahahahaa ndio hapo sasaMaisha yenyewe yakuyaletea u seriousness yako wapi 🤣🤣
Hahahahaa ndio hapo sasaMaisha yenyewe yakuyaletea u seriousness yako wapi 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Nimeshajibu 🤣🤣🤣🤣🤣 nimejibu huku nacheka…
Eeh nafwaaa 😂🤣🤣🤣
Wakiendelea kubweka unawaoffer maji rp wasife kwa kiu🤣🤣🤣Ni kweli eti ‘kuna vitu mtu/ watu wangejua basi ni wangeacha kubweka 😂😂😂
Nyieee😂😂😂Wakiendelea kubweka unawaoffer maji rp wasife kwa kiu🤣🤣🤣
Hashtaglowkey 🤣🤣hatari sana
Amini tu kipenzi hakuna namnasitaki ktamini
Kuna masta hapo juu kasema umenipiga chini🤣🤣🤣🤣bwana YesuAsanteee changuuuu....nimezipokeaa
sawa kipenzi,acha tu niamininiAmini tu kipenzi hakuna namna
Sema dada 🤣Nyieee😂😂😂
Bora hatasawa kipenzi,acha tu niaminini
Ungependa Bibi yako akuandalie nini?Nitakuja babu nichukue maujuzi😁
Nani awape maji 🤣🤣Wakiendelea kubweka unawaoffer maji rp wasife kwa kiu🤣🤣🤣
Hashtaglowkey 🤣🤣hatari sana
Changamoto 🤣🤣🤣🤣Kuna masta hapo juu kasema umenipiga chini🤣🤣🤣🤣bwana Yesu
Usirudie kunipiga kibuti sawa🤣
Wasamaria wema🤣Nani awape maji 🤣🤣
Wabweke mpk wazimie na kiu
Hatari lakini salama😂😂kwani nini kimetokea😆😆😆😆
Hatari saaana😂😂
Nina usemi basi😂😂Sema dada 🤣
Tunaishi nayo tu🤣🤣🤣🤣kikubwa uzimaHatari lakini salama😂😂
Ahaha Sawa namba yangu unayo lkn hiyo haiondoi uhalisia wa ugumu wa maisha yanguNakutaka wewe wewee hakyamama tena.
Hivi namba yako ninayo eee..nitakuthibitishia hili

..Utaweza Kula ugali na nyanya chungu daily?