Selfika na JF: Snap it. Show it

Ankoli hapa ndy umeshuka kwenye gari umeenda kukojoa mkojo kisha uendelee na safari eeh

Si unipe mbinu ya kumiliki ndinga na Mimi ?
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ mjomba wacha kunichoraaa , mie na wewe bado tunatembelea miguu.. ukifika mda wa kutembelea matako tutakutana kwenye vituo vya mafuta
 
Nikupe mbinu ya kumiliki gari ilhali mwenyewe sina gari
ebu acha utani
Ndy tatizo lenu wenye maisha..Hampendi kutushirisha kwenye mbinu zenu Hadi mkafanikiwa,ili na Sisi tulambe asali

Ila nakuona kwenye nyuzi zote za magari ankoli unatoa nondo za maana..Yule jamaa wa kukataa kununua gari used za mzungu ambazo ni used from Japan sijui mlimalizana vipi ktk vita yenu,maana kila mmoja alikuwa anakaza fuvu hataki kumuelewa mwenzie
 
Sio kila fundi garage ana gari, na sio kila ukimpenda mwanamke anakuwa wako. Nayapenda tu magari, siku moja nikipata na mie pesa nanunua langu.. nitapost na vi picha labda naweza pata mpenda magari ,πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ maana najua Depal anapenda muungurumo kama wa simba.. akisikia muungurumo atanifikiria kidogo
 
Kumbe nipo kwenye Raiti trakii

Damu yangu imeshuka sana.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ongeza na juice ya Rozelle,damu itapanda Kwa haraka zaidi.Mimi ninayo ndani natumia mara Kwa mara

Majani yake yanapatikana Kwa urahisi Sana km upo Dar na fungu la buku unapata juice nyingi sn.Mara kadhaa nayatumia kutengenezea wine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…