Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani hata siku moja usije washauri watu kuhusu mahusiano.
Wakipatana unaonekana wewe mwanga
.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Haya mazuri hata mimi natumia. Kuhusu perfume inategemea sasa mana sio wote wanapenda. Ila kwa mfano ukiwa unatumia na mwanadada akawa anavutia nayo mambo yanazidi kunoga.
Kuna binti kanichamba huko juu,ananiambia utumie mafuta ya Nazi kwani wewe junior? Nikapita kimya kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…