Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
😬😬😬😬 Alafu nyie hata hamjui mapenzi, kama wetu kuku wa kienyeji vitundu vitundu hadi rahaa.. mida kama hii nakapitia tunaenda kula kababu au vichori, hapo jero tu, ila nyie mnataka piza elfu 32.. ama kweli mtuache tupumue.. shindeni mechi zenu na sie tushinde zetuHata sisi hatuwataki, tunataka wenye wanahudumia bila kuwaza.
Bodaboda for who? Why?😛

