Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Sijui.
Kwani mada ilikuwa Nini?
Nashangaa mmenitag
Ila zurri ametuvumilia SanaKhaa ninyi si ndiyo mmeniamsha mie nilikuwa nimelala zangu naota nashangaa nimeitwa huku



.

Limefanyaje eti..Dada hilo shepu![]()



mie nikajua jina la mzizi
Hata Mimi simjui.
Wewe Karma unamjua!?.
Mimi nashangaa tu zurri..hivi Ni jina la mtu eeh?![]()
Hapana dada.Mpendwa hebu ifute hii comment tafadhali![]()

Nitaachwa mwenzio ibilisi kanipitia sikutaka kuweka![]()
Mimi nilijua tamthiliya sijui..mie nikajua jina la mzizi


Aisee kumbe una kaubishi sikujua mwanzo nisingeweka😁😁😁Hapana dada.
Nataka ambao wamepitwa na picha wakabwe shingoni![]()



ndiyo nimekuja sasa hivi nakuta ninyi ndiyo mmekazana zurri zurri kwani mnataka awawowe??
Nilijua tu zitakupita maana umekomaa na zurri huko juu![]()
Utaweza baridi la mlimani wewe toto jamaniDada njoo nichukue na mimi jamani
Sasa nakufundisha namna ya kupitia.Nilitoka ndugu yangu acha tu ningekuwa hapa mbona ningeona maana napitia comment moja baada ya nyingine uwe unanisevia jamani








kwani zurri anatuona??
Ila zurri ametuvumilia Sana.
Angekuwa lizarazu hapa angesema tuna vizabina![]()