Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Dada njoo nichukue na mimi jamani
Kungekua na uwezekano ningekuchangia ..Mnichangie tako jamani![]()
Nywele nishanyoa.Kungekua na uwezekano ningekuchangia ..
Ila nawe ungenichangia nywele..
Mpendwa uzi huu inatakiwa uwe online saa 24 pole sana😁😁Not good kabisa sijakuona
Oneni hili shepu jamani![]()
Hata Mimi simjui.zurri ndiyo nani nyie??

AyaaaaaaaNywele nishanyoa.
Zilikatika..zile Ni za muda Sana
Shukrani
Do me a favour please hata pm mpendwa😢😢😢Mpendwa uzi huu inatakiwa uwe online saa 24 pole sana😁😁
Wanajuana kumbe.
Z amesema
Eti kaka yangu humjui😁Hata Mimi simjui.
Wewe Karma unamjua!?.
Mimi nashangaa tu zurri..hivi Ni jina la mtu eeh?![]()
Nyimbo ya G nako hiyo ' WekaWekaaaaa
Nitaachwa mwenzio ibilisi kanipitia sikutaka kuweka😁😁😁Hawachi mimi sijaona jamani usinifanyie hivyo
Nilijua tu zitakupita maana umekomaa na zurri huko juuMimi sijaiona nifanyie mpango



Mpendwa hebu ifute hii comment tafadhali 😁😁😁😁😁
Masha'allah