Nakuambia utaachwa, we ukisikia wapi ukifika kwa ankoli inaanza piga deki, salimia majirani kwanza wakupe habari za hapo.
Afu wee tulia tyuuh, akikutuma dukan jua wee ndo meini chiki, akienda mwenyewe, vaa skuna zako usepee,
Imeishaaaa hiyoooo, hujasoma Cuba wee?