Tuliona barua fulani yenye mwandiko wako ikatuvuruga akili mi na mpwa wangu. Mpwa alianza kulia mpaka ikabidi nimdabue kofia ili kumuweka sawa. Na tangia hapo kanywea hata raha hana.
Kwema huko lakini? Bado uko kwa Wasukuma wako au umeshaondoka zako?