Selfika na JF: Snap it. Show it

Nipo. Miss you too.

Nakufuatilia kutoka Morogoro laivu. Nilikuona juzi hapa makamera yamekumulika nikaruka ruka kama mwanandama yaani....

Jimbo letu bado liko wazi au lishavamiwa tayari?
Amen
😁😁kumbe na we ulikuwa live unamfuatilia baba
Kesho anamaliza!

Jimboo ssπŸ™ˆπŸ™†πŸ™‡
Hebu ngoja kwanza😷

It seems ulipitwa pia hapa na uziiiπŸ˜·πŸ˜‚
 
πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜!!! πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Dah!!
 
Pisi ya nani hii?
Hii pisi kuna siku nilikuwa naifukuzia πŸ˜„πŸ˜„, imetoka getini naifata parking, nikakuta kuna unyama mmoja hatari upo silence nisitaje gari na hata mtu, ila ni muwekezaji flani .. magoti ya kaishiwa nguvu ... πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ but ni kisu hasa ukikutana uso uso kwanza pole sio ongeaji hatari...
 
Bila kusahau Mizani ya ushambengaπŸ˜‚πŸ˜‚
🀣🀣🀣 na ya walimwengu… na viroja vyao..

Nipo nacheZa haka ka singeli πŸ˜‚πŸ˜‚

Kupendwaaa rahaaa
Jamani rahaaaa
We Lenie anaringaaa anapohisi anapendwaaa 🎢 🎀

Eeh bwana Mkunaji limemkuta pele
Sijui nn nn pamenipita πŸ˜‚πŸ˜‚

Kama kupendwa maradhii basi mie niko hoi taabaniiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…