Ni dada kweli ndio wale jamaa zetu wanaovaa uhusika ?
Siwezi kusahau kitu muhimu hivyo jamaniHujasahau
Vipi nduguDaaaah
😄😄😄AsanteeeSiwezi kusahau kitu muhimu hivyo jamani
Yaani nilivyohangaika jana kwa ajili yako halafu ukaingia mitiniNilienda kula mm 🙆
Irepost basi
Fanya chap basi sahii watu hamnaYaani nilivyohangaika jana kwa ajili yako halafu ukaingia mitini
UmefutaVipi ndugu
Hapa inabidi nipite na kipaza sauti.Kuna watu wanaziwahi ku download... itabidi uwaombe wakusaidie mkuu


Tatizo matege banaUmefuta
Karibu sana jamaniAsanteee
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽Karibu sana jamani
Matege urembo nayo ujueTatizo matege bana
😂😂😂Hamna namna mkuuHapa inabidi nipite na kipaza sauti.
Si nanunua pesa mbovu na doll sasa Itakuwa nanunua selfie na maua yote ya jf![]()
Umeiba status ya nanii
AiseeMatege urembo nayo ujue
tpaulKunguni wa UlayaBongoyoyoWanachimbo lao makini haliwezi kupoa kule.