Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Nampa AbeeWachaa
Yaani unampa
Na abee anapata
Duh
Punguza bange hizo.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Nampa AbeeWachaa
Yaani unampa
Na abee anapata
Duh
Bangi
Njoo nikupunguzie 😂
ShangaziUmeniwahi![]()

Irudiweeeeee😜Njoo nikupunguzie 😂
Share location tupige HeinekenGood morning team️
Wish y’all a very beautiful furahi day and wkend ahead![]()
Chizi wewe hahah!Bangi
Zipo wapi
Si umesema mwenyewe
Na goti unampa
YanMtoto wa mtu kumpa hiyo ni lazima.
Wazazi na watu wa makamo..wanaojitambua.
Wengine tupambane tu na mambo.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app


The pillars 🤗Share location tupige Heineken
We ulianzaje kumpa mshkaji?Yan
Hakuwa mtoto wa mtu…alikuwa ni mshkaji,, sasa vile akiniita labda naitikia abeee… ndio akasema namfanya anipende
Nilikimbiaaaa![]()
Unajua kuna wale watu anakuita jina kwa sms?We ulianzaje kumpa mshkaji?
Kumbe uliyataka.
Shangazi mwambie huyo handsome dark tall na uchebe guy ajiamini..+ uchebe![]()