Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,519
- 235,236
Angalau jirani wewe naweza kukupa.
Upo kwenye Age ya watu waliokula chumvi nyingi.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Angalau jirani wewe naweza kukupa.
Nilishamwambia aje kuchukua bia zake.@Post M-alone
Mkwepu anacomment mara Moja Kwa mwaka.Kwa kweli [emoji1787][emoji1787] maana mambo mengine ni kama kuonekana kwa kakakuona
Akhsante Jirani.Marahaba jirani...napenda msimamo wako jirani.
🙏 🙏Angalau jirani wewe naweza kukupa.
Upo kwenye Age ya watu waliokula chumvi nyingi.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mara nyingi sana naitikia abee 😂😂 nilianza kupunguza baada ya mtoto wa mtu kusema anafall in love na hizo ‘abee[emoji38]
Huwa nawaitikia watu wa makamo na wenye heshima.
The rest Salamalekooo...
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Usiniambie[emoji2297]Angalau jirani wewe naweza kukupa.
Upo kwenye Age ya watu waliokula chumvi nyingi.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Jirani sio kila kitu napewa, ni salam tu..Usiniambie[emoji2297]
Unampa kabisa
Tena yote yote[emoji2369]
Aisee atafaudu[emoji1787]
Kitulo hii[emoji848]
Halelujah[emoji120] [emoji120]
[emoji1787]Jirani sio kila kitu napewa, ni salam tu..
Mtoto wa mtu kumpa hiyo ni lazima.Mara nyingi sana naitikia abee [emoji23][emoji23] nilianza kupunguza baada ya mtoto wa mtu kusema anafall in love na hizo ‘abee
NdiyoUsiniambie[emoji2297]
Unampa kabisa
Tena yote yote[emoji2369]
Aisee atafaudu[emoji1787]
@Saint AnneMtoto wa mtu kumpa hiyo ni lazima.
Wazazi na watu wa makamo..wanaojitambua.
Wengine tupambane tu na mambo.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Amepiga vyombo huyo[emoji23]..achana naye.Jirani sio kila kitu napewa, ni salam tu..
Mtoto wa mtu anaogelea hizo abee hadi basi.@Saint Anne
Wachaa
Chibongee[emoji7][emoji91]Furahi day
TGIF