Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
Kabisa shou
!!😘dah!! Ama kweli tumekutana. Itabidi tuweke appointment kabisa khaaaa!!!.
!!😘dah!! Ama kweli tumekutana. Itabidi tuweke appointment kabisa khaaaa!!!.
Noumaaaa, refu haswaaa... Hata ndani ya baibui laonekana tuuToto Refuu afu umejazia sasa dahhh![]()
Ni kuzuia usilale. Inapanua mishipa ya damu na inaufanya moyo kusukuma damu kwa wingi hivyo mtu unajisikia una nguvu kwa muda. Vijana wa kisasa hunywa hizi drinks wakipaka vumbi lao la Kongo ili eti wapige show za kibabe!Huwa inasaidia nini?
MrBasi niambie nikuite nani![]()
Nashangaa yani ndyo yale yale ohh ww nakuona kama Kaka anguKwamba anataka kukunyoa nini kwani mfano??![]()
Hahahaaa!Nashangaa yani ndyo yale yale ohh ww nakuona kama Kaka angu
Umeshatoa siri mkuuNi kuzuia usilale. Inapanua mishipa ya damu na inaufanya moyo kusukuma damu kwa wingi hivyo mtu unajisikia una nguvu kwa muda. Vijana wa kisasa hunywa hizi drinks wakipaka vumbi lao la Kongo ili eti wapige show za kibabe!
Ukiwa addicted hii hali ya kuwa alert na nguvu ikiisha inabidi unywe tena na tena; tena kwa wingi zaidi. Matumizi yake kwa muda mrefu hatimaye huweza kuleta matatizo ya moyo, presha na hata kisukari. Wengine pia huharibu hata figo japo haijajulikana ni kwa nini hasa.
Marekani na sehemu zingine duniani energy drinks zote zimeanza kuwekewa warning ili watu wazitumie kwa uangalifu.






Kauelewa mzigo huo shou sio kosa lake 😉😉😛!!
Yaonekana leo una furaha mpaka basi. Safi sana!IiiiiiiiigggggweeeeeeeeeeeeeehhhhThe law of use and disuse asanteeeehh
!!
Duh nimeelewa Sasa.. tatizo vijana wa Sasa hawasikiiNi kuzuia usilale. Inapanua mishipa ya damu na inaufanya moyo kusukuma damu kwa wingi hivyo mtu unajisikia una nguvu kwa muda. Vijana wa kisasa hunywa hizi drinks wakipaka vumbi lao la Kongo ili eti wapige show za kibabe!
Ukiwa addicted hii hali ya kuwa alert na nguvu ikiisha inabidi unywe tena na tena; tena kwa wingi zaidi. Matumizi yake kwa muda mrefu hatimaye huweza kuleta matatizo ya moyo, presha na hata kisukari. Wengine pia huharibu hata figo japo haijajulikana ni kwa nini hasa.
Marekani na sehemu zingine duniani energy drinks zote zimeanza kuwekewa warning ili watu wazitumie kwa uangalifu.
Khaa maji marefu hayo kwangu mm acha nidili na beki 3 tuKauelewa mzigo huo shou sio kosa lake!!
Ndugu mhariri naomba unisamehe🙌🙌🙌Nkamu: God is watching you.😁😁😁
Hahahahaaaa!! Ngoja nikapike msukuma 🤣🤣🤣🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️Yaonekana leo una furaha mpaka basi. Safi sana!
Mr Genetic, siyo?
Sasa kwanini umehide blue ticks? 😅😅 kumbuka mie ni old user wa wasap GB, sasa kuna mambo nayaona 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi huyuu?
Usisahau we ndio ulinifundisha kutumia Snapchat😂 sasa Whatsapp GB ningewezaje mie bila msaada wako🤣🤣