Sio najiweka kilani. Nikiplay strong naambiwa siku hzi nimekua na tabia mbaya. Sio mpole tena. Nikiwa hvi nafikiriwa vbaya. So nitaishi vile navyoona ni sawa as long as najitambua
kuwa na familia siyo shida,, najua wewe ni mfuatiliaji wa baadhi ya american rappers kutokana na avatars zako,, lil wayne alipata mtoto wake wa kwanza akiwa ana miaka 16 kwahiyo ikawa mtoto kapata mtoto,, sasa yawezekana na wewe ni dingi mtoto..