Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwani ni vipi peke angu ndio nina mduara wa kijani 😩 Lenie
Kwani ni vipi peke angu ndio nina mduara wa kijani 😩 Lenie
Nimedandia gari kwa mbele πŸ˜‰
Kila mmoja Akiwa katika Id yake anaona mduara wa kijani ila member wengine unawaona wana maduara ya mekundu!πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220620-110950.jpg
    68.7 KB · Views: 8
afu naskia booster zimekuja mpyaa, naona Giggy anaya promote, tatizo bei wee eti 1 n 65k.

Ntafute hela nikanunue mie.
Hahahahaaaa!!! sasa ukiwa na baby unajiwahi kuvua mwenyewe auπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜œ?? Hahaha
 
hadi
kufanya surgery ntachelewa, Wachina wamerahisisha, Kkoo unajipatia Surgery ya muda mfupi kwa bei cheee.
Hahahah! Mjini mipango ausio!! Umenouga sana yani kashepu mwakeeπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œ
 
65 bado ni kind cheaper….
ukiamua

Booster ndiyo nini tena ? Au hizo mataqo za mchongo? Taiti au
Matako ya mchongo,

Taiti hazioneshi wowowo. Yaan 65 n bajeti yangu ya mwezi..
Mihogo na miguu ya kuku. Burudaaan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…