Wapopo ni matapeli na majizi makubwaaaa, yaan imagine kaka wa 27yrs. Yaan kheeeeeh yule angenikomba yoteee,. Eti tuanzishe biashara, ipi? Duka la nguo au sallon ya kiume, khaaaah hela yako?
Kiwanja Cha mke nyumba ya mume,mke kaomba talaka mahakamani na mahakama ikaamuru mke abaki na kiwanja chake na mume ahamishe nyumba yake,mke kwa uzuzu akashangilia.Mume akaja na huo mtambo kuhamisha nyumba yake,mke abaki na kiwanja chake.
Kiwanja Cha mke nyumba ya mume,mke kaomba talaka mahakamani na mahakama ikaamuru mke abaki na kiwanja chake na mume ahamishe nyumba yake,mke kwa uzuzu akashangilia.Mume akaja na huo mtambo kuhamisha nyumba yake,mke abaki na kiwanja chake.