Nipe kwanza picha .
Nikutoe Out??
Naiba wapi hela sasa?
Unaomba damu kwenye maiti?
Nitakupeleka pale Tukuyu,,Kuna mishkaki ya mia mbili mbili,tunakunywa na juice embe..bia kwangu haramu.
Haya usinitoe kwenye mstari..naomba picha.
Sent from my TECNO CG6 using
JamiiForums mobile app