Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,791
Ndio MkuuMkuu Tena![]()
Acha niwe mpenzi mtazamaji tuSasa mtafute wote.. hakuna maisha rahisi au ya kutafuniwa![]()
ntakupeleka C9 utoe single moja ya mipashocuzoooooh mie staki ujue? Niacheeee
Vipi habari ya leo ?
Niite mzeeNdio Mkuu
Kwani si sahihi ?
Mungu mwema, tupo tupo tu hapa selfieVipi habari ya leo ?
Mmh hayaNiite mzee
Ooh vyemaMungu mwema, tupo tupo tu hapa selfie
😃😃😃😃😃 Hii sio powa kabisaAcha niwe mpenzi mtazamaji tu
Tajiri vitu vyako hvyo maji marefu hayo kwangu mm acha nidili na beki 3 tuWatu tuna ramba tu lipsna kula kwa macho tuu
Hahahah hapo Tupo shule kuna intershool competition shule jirani yaja shuleni kwetu mjombaa!!!😜Maisha hayo mzuri sana, ukiona mtu ana furaha ujue ana furaha kweli.. ila huku mjini tuna fake sana furaha ili maisha yaende 😃😃😃 Hapo ndizi mambo yanakuwa safii sana
Na mie 😉😉 kamuariko Shangazi basii .. hata kuja kutembelea maabara tu 🙂🙂Hahahah hapo Tupo shule kuna intershool competition shule jirani yaja shuleni kwetu mjombaa!!!😜
Mmh! mambo ya wazito hayo mie na wewe hao ni shemeji zetu tu.. 😃😃😃Tajiri vitu vyako hvyo maji marefu hayo kwangu mm acha nidili na beki 3 tu
Embu nitafutie Madame aliyetulia hapoHahahah hapo Tupo shule kuna intershool competition shule jirani yaja shuleni kwetu mjombaa!!!![]()
🤣🤣🤣🤣🤣 karibu sana mjomba leo shule full burudaneeeeee!!!🤸🤸🤸🤸Na mie 😉😉 kamuariko Shangazi basii .. hata kuja kutembelea maabara tu 🙂🙂
Dah! Ningekuwa karibu ningekuja kuna mziki 🙂🙂🤣🤣🤣🤣🤣 karibu sana mjomba leo shule full burudaneeeeee!!!🤸🤸🤸🤸
Tajiri ule mzigo ulioupakia kwenye Gari yako dahhh sio poa watu mna faid sana nchiMmh! mambo ya wazito hayo mie na wewe hao ni shemeji zetu tu..![]()