Zipo za kutosha ndiyo. Hata ukitaka kubembea unabembea tu yaani. Cha muhimu tu uwe na stamina na uwe na kifaa tumizi cha kueleweka. Na ujue unachokifanya!
Hapo nimewasemea vibonge, mie kimodo kweli. Alafu ungejua nakula hovyo mimi ila mwili ndio umegoma kabisa na ninavyotamani kuongezeka daah sinaga tu namna.