First class ndiyo. Maana elimu yao ni msuli hasa siyo mchezo. Na hizo first class ni ngumu kuzipata kwetu tu Wabongo na roho mbaya zetu. Huko Kenya, Nigeria na South Africa sidhani kama ni ngumu kama kwetu na wao ndiyo huishia kuzipata hizi scholarships. Ukiona Mbongo ni kwa kubahatisha sana