Selfika na JF: Snap it. Show it

Shida sio msuli brother shida ni hyo first class[emoji23][emoji23]
" utasikia mko wengi sana hadi mwisho wa course naondoka na watu 50[emoji23][emoji23]"
 
Iiiiiiiiigggggweeeeeeeeeeeeeehhhh 🀸🀸🀸🀸🀸🀸🀸!!! Nawakubare sana wa mchongo!
Big boys mambo yao chini ya carpet.
Hawatumii nguvu kubwa kutengeneza mvuto kwani wana ulimi laini, hawakurupuki na wakirusha ndoano lazima ije na samaki mnonoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Big boys mambo yao chini ya carpet.
Hawatumii nguvu kubwa kutengeneza mvuto kwani wana ulimi laini, hawakurupuki na wakirusha ndoano lazima ije na samaki mnonoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀭🀭🀭🀭🀭🀭🀭🀭!!
Big boys wa mchongo ni nukseeeeeeeeee πŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ˜›πŸ˜›
 
Shida sio msuli brother shida ni hyo first class[emoji23][emoji23]
" utasikia mko wengi sana hadi mwisho wa course naondoka na watu 50[emoji23][emoji23]"
Hii ndiyo roho mbaya ya Kibongo niliyoizungumzia hapo. Kila mtu ni mbabe kwenye eneo lake....Eti darasa la wanafunzi 300 wanapata first class watano. Prof. mwenyewe si anapaswa kufukuzwa kazi? [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Hata kwetu siku hizi zinapatikana chief nifanyie mchongo, mimi ninayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…