Selfika na JF: Snap it. Show it

Shida sio msuli brother shida ni hyo first class

" utasikia mko wengi sana hadi mwisho wa course naondoka na watu 50
"
 
Iiiiiiiiigggggweeeeeeeeeeeeeehhhh 🀸🀸🀸🀸🀸🀸🀸!!! Nawakubare sana wa mchongo!
Big boys mambo yao chini ya carpet.
Hawatumii nguvu kubwa kutengeneza mvuto kwani wana ulimi laini, hawakurupuki na wakirusha ndoano lazima ije na samaki mnonoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Big boys mambo yao chini ya carpet.
Hawatumii nguvu kubwa kutengeneza mvuto kwani wana ulimi laini, hawakurupuki na wakirusha ndoano lazima ije na samaki mnonoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀭🀭🀭🀭🀭🀭🀭🀭!!
Big boys wa mchongo ni nukseeeeeeeeee πŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ˜›πŸ˜›
 
Shida sio msuli brother shida ni hyo first class

" utasikia mko wengi sana hadi mwisho wa course naondoka na watu 50
"
Hii ndiyo roho mbaya ya Kibongo niliyoizungumzia hapo. Kila mtu ni mbabe kwenye eneo lake....Eti darasa la wanafunzi 300 wanapata first class watano. Prof. mwenyewe si anapaswa kufukuzwa kazi?
 
Hata kwetu siku hizi zinapatikana chief nifanyie mchongo, mimi ninayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…