myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Usiku wa karanga...
Usiku wa karanga...
Ile ni kama kwa Obama asee una picha zako nyingi sana ni tramu balaaa!! Pole jaribu kuulizia May be utazirudisha!Shouzzz mwenzio, cm angu sijui imekuaje picha sizioni, hata Google drive, yaan hapa nataka nimuulize mtu naweza zipata vipi, naumia mnooo. Hasa, kuna picha ile ya Taulo,![]()
Naona umeamua kujilipua kabisa 💥
Nitajitahidi nisichangie kwenye baadhi ya Uzi, ule wa siasa ndo sigusi comment yangu!! So am free 😂Naona umeamua kujilipua kabisa 💥
kumbe upo katibu haya nifanyie wepesi nilale vizuri please katibu;!Nitajitahidi nisichangie kwenye baadhi ya Uzi, ule wa siasa ndo sigusi comment yangu!! So am free 😂
Kwahyo umeamua kuishi humu humu selfika!Nitajitahidi nisichangie kwenye baadhi ya Uzi, ule wa siasa ndo sigusi comment yangu!! So am free 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nibariki katibu wangu!!Nitajitahidi nisichangie kwenye baadhi ya Uzi, ule wa siasa ndo sigusi comment yangu!! So am free 😂
Mwenyekiti ya dimpoz itabidi nifanye mpango wa kukufungashia kabisaa!!Hustler one sijaona nimepitwaaaa! Kesho utanifanyia wepesi naile ya dimpoz please,!!
Usiku mwema wapendwa mlale unono!!😴😴😴😴😴😴😴
Kabisa katibu nifungashie mie inanikosha sana ileMwenyekiti ya dimpoz itabidi nifanye mpango wa kukufungashia kabisaa!!
Kule hapana nitabaki ndugu mtazamaji!!Kwahyo umeamua kuishi humu humu selfika!
Mwenyekiti nikupe hii au ile??Kabisa katibu nifungashie mie inanikosha sana ile
Utamkuta GENTAMYCINE yuko anakusuburi!Kule hapana nitabaki ndugu mtazamaji!!
Hahahahahahaha mambo yasiwe mengi!!, " kwani dunia yetu basi"" alisikika mlevi mmojaUtamkuta GENTAMYCINE yuko anakusuburi!
Nipe hii kwanza ile utanifungashia kesho katibu!!!Mwenyekiti nikupe hii au ile??
Mkuu mmebaki wawili alaf mida mibaya hii ebu mbembeleze huyo duu atubless hata na kanga au nyt dress tuinjoy!Hahahahahahaha mambo yasiwe mengi!!, " kwani dunia yetu basi"" alisikika mlevi mmoja
View attachment 2257824akili mtu wangu akilii
oyoooMwenyekiti!! Haya umesikia ya vijana hayo!!Mkuu mmebaki wawili alaf mida mibaya hii ebu mbembeleze huyo duu atubless hata na kanga au nyt dress tuinjoy!