Ukija Arusha utaoga maji ya moto. Ushawahi kuingia bafuni kuoga kisha ukatundika nguo zako ile unataka kufungulia maji uoge ghafla unasikia sauti inakuambia "oga hayo maji ya baridi ufe sasa hivi"!.Siwezi kabisa nilikataa toka nikiwa mdogo

Naoga ila nikitoka hapo natetemeka mpaka nyweleNimepimia ili baridi na uyasemayo naona kabisa ungekuwa unaoga mara 2 kwa week..
Mwalimu leo umevurugwaaaaaaa!! Sentence zako sasa!!😉🤭Wapo ni juu yako tu kuvuna watoto wa kairuki hawana vizinga, maili zinasoma "O" ni wewe tu na ulimi wako
Nakadori najua wewe sio mchoyo

naomba nikuone tu hata kwamba najua sura yako utaifichaWe bwana weweNakadori najua wewe sio mchoyonaomba nikuone tu hata kwamba najua sura yako utaificha
Usambaani huko milimani kuna baridi sana na nilikuwa naoga ila Arusha niliwahi pita baridi lake si mchezoUkija Arusha utaoga maji ya moto. Ushawahi kuingia bafuni kuoga kisha ukatundika nguo zako ile unataka kufungulia maji uoge ghafla unasikia sauti inakuambia "oga hayo maji ya baridi ufe sasa hivi"!.![]()
Mwalimu leo umevurugwaaaaaaa!! Sentence zako sasa!!![]()
asnteeeeeeeee!!! Nawe pia uwe na Jioni njema mkuu!Jioni njema wanaselfikaView attachment 2256593
mbalizi1 mekuona mahalJioni njema wanaselfikaView attachment 2256593
We bwana wewe
Kumbe wewe hanshamu eeh


Fanya chap kabla sijatoka hapa NakadoriAsante mwalimu!Leo nimechangamka mapema mwalimu..
Karibu tuikaribishe wikiendi..
😃😃 ni wewe ndio unaongea au maji ya dhahabu?So beautiful, unaona ulivyo upiga mwingi hapo. Nywele unasuka rasta ama?
Yaani wewe nikiwa mkurugenzi nakupa usaidizi wangu kwa nguvu..
Kuna kipindi nilikuwa naoga maji ya baridi Arusha hapa aseeee pumbbbu nilikuwa nazitafuta kwa masaa kadhaa kabla hazijarejea tenaUsambaani huko milimani kuna baridi sana na nilikuwa naoga ila Arusha niliwahi pita baridi lake si mchezo
