Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,851
- 37,564
Ewaaaaa 💕💕Khaaaa hna bwana kawaida tu
Upe moyo venye unapenda![]()
Zinapendeza.. kikeni ukataji huo sio sana
alafu nife niende wapi sasa 😀😀😀Tutakodisha watu wa kukuzika usijali. Cha msingi utazikwa.
Mkuu hiyo pisi nilikutana nayo dar nahisi ni wewe maana nayenyewe ni kweli maji ya kunde ngoja ebu jipige full niangalie kimo maana yenyewe haikuwa refu!Ah perhaps umenifananisha ..
Huyo ni mimi kabisa .
Mimi maji ya kunde hivi
Ah niambie utundu upo wapi hapoNikikwambia ww mtundu unakataa Sawa acha nikajichukulie sheria mkononi tu huko Bafuni


Nimeweka mara nyingi sana humuUkinitumia na lips ndyo naacha na kazi kbsa
Asante mkuuKaribu tusukume wikiendi mdogo mdogo bosslady![]()
Na hizi zawadi sio za kukosa
Tafadhali nimepitwa jmnNimeweka mara nyingi sana humu
Ooh what a coincidenceMkuu hiyo pisi nilikutana nayo dar nahisi ni wewe maana nayenyewe ni kweli maji ya kunde ngoja ebu jipige full niangalie kimo maana yenyewe haikuwa refu!
Hakika. Hapa nakusubiri wewe tu.Vijana watakua wamepata somo vizuri leo
Sawa kipenzi acha nivue hivi vitenge nipigilie mtoko. Mida ya saa 1 usiku natupiaMadam ake Bado kuitendea haki selfika sasa!!
Poapoa Madam Sitoki hapa leo 🙇🙇🙇😘!!Sawa kipenzi acha nivue hivi vitenge nipigilie mtoko. Mida ya saa 1 usiku natupia
Ah imekaaTafadhali nimepitwa jmn