Selfika na JF: Snap it. Show it

Shida ukisema niguse hapa wengi wao wanakuona hujatulia
 
Nyanyachungu zinafanyeje kaka maomba nidandir gari kwa mbele
Deeppond alisema kuna dem wake akinywa bia huko kunako kunapoa😅
Ndio na mimi nimemwambia Kelsea kuwa nyanyachungu za kisasa zomepoa kama anavyosemaga mtaalam deeppond..nilikuwa naoanisha tu!
 
hahahaaaa!! Ilani vizuri mkawa mnaambiana sasa ndio mpaka umpate wa kuweza kumuambia😅😎!
Dah mnatabu sana, kwa hiyo huwa hampati anayeambilika ndio maana mnalia hamfiki kileleni.
Kimsingi game zuri na utakayoifurahia ni kuanzia round ya pili kuendelea maana hapo kila mmoja anamuhitaji mwenzie ili kuamsha feelings. Vinginevyo mtakuwa mnalalamika kila siku hamfiki mnakotaka kufika
 
Deeppond alisema kuna dem wake akinywa bia huko kunako kunapoa

Ndio na mimi nimemwambia Kelsea kuwa nyanyachungu za kisasa zomepoa kama anavyosemaga mtaalam deeppond..nilikuwa naoanisha tu!
afu sikufatilia sana hayo maneno ya mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…