Aah ningekuungia cha mwezi kabisa, nikajua wamekunyima hao wasukuma wako(namuheshimisha kaka). Hizi za humu najisikia raha tu ile nakukuruka kuingiza harakaharaka.
kwakweli!! Sasa kuna muda unakuta mkaka anajisifuuuuuuu maneno mengiiii blah blah kibao kuja 6*6 toba yaillahi!!ππππ ni empty set!!
unabaki TU ππππππππ
Voda wadwanzi hizo issues za kuexpose namba 5 za mwisho. Kama mtu alikuwa anakuhisi afu umeshukuru kupata vocha, anaunga codes fastaaa. Mimi naamini mtu akipata anashukuru, hata kama ni kimoyomoyo
Na masela atawasimulia jinsi alivyopiga shoo ya kibabe...
Na kwa jinsi mlivyo si ajabu wakati anapiga hiyo unayoita empty set ulikuwa unamkatikia. Na vilio kama vyote...na alipomaliza ukamshukuru. Na jasho ukamfuta....
Utabakia unalalamika huku yeye huko baharia yuko kwenye fahari kwa kukukula na bize akimshukuru Mungu kwa kumuumba kidume....
Unawajua watoto ambavyo anaweza akagoma kula pilau nyumbani, afu akaenda kwa jirani kugombea ugali dagaa na wenzie? Honestly napenda hekaheka za kugombea vocha humu; hadi inaingia "umefanikiwa kuongeza" raha mnoooo. Ahsante sana baba Pasta