Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,419
Nguvu zisingekuwepo tusingekuwa na michepuko kila kona. Na kwa michepuko huko ndo kwenye gemu za purukushani sasa. Njia kuu sana sana ni kulala tu na kupumzikaMmmmmmmmmmmh ni wapi mimi nimevisimanga? Tumesema tu nguvu za kuhandle wanawake wengi hamna.
Akhsante sana mkuu! Mpaka uwe na wakukusikikiza sasa wengine akishawaza chini tu hasikii la kuambiwa ni kumrukia tu mwanamke na kumfakamia hana hata romanceπππMimi nimedeti na wazungu...
Wajua tofauti ilipo kati ya wazungu na nyie dada zetu?
Wazungu wako open sana. Yaani anakwambia laivu nini cha kufanya na wapi pa kukomalia ili afike kileleni...I like this...a lot. If you do it this way, I will come quickly and hard...yaani unapewa codes zote na kazi yako inakuwa nyepesi tu yaani...
Sasa nyinyi dah! Unajua kabisa braza hakufikishi kwa sababu hajaujua mwili wako vizuri. Na mko tofauti sana kila mmoja na mahitaji yake. Mkaka wa watu anahangaika weee huku na kule hakuna kitu. Halafu unatoka hapo unalalamika eti huyu jamaa bure kabisa. Mbona tu usimpe funguo za sefu ya mwili wako zilipo mkafurahia na kuokoa muda na kuondoa hizi frustrations na malalamiko yasiyo ya lazima.
Mi naulizaga tu. Eee bana eeh! Mi sitaki kutoka mijasho ya bure hapa. Nini kifanyike? Wapi pashughulikiwe? Tumalize hii gemu...au leo tufurahishane tu na lo lote litakalotokea litokee i.e. mechi zisizo na malengo...
Nyie mabinti wasomi...you can change the game...for the better!
Unaona sasa, hapa ndipo inferiority inatumaliza sie kina average Joe! Ila bwana mi sikubali, ule ushauri wako nimeuchukuaπ π sema hapo kwenye kidevu sijui ulimaanisha kinatumikaje..teh!Hahahaha!!! Nasikia na inapendwaga kweli na wanawake walio Wengi!!
Kabisa jiraniSawasawa jirani, usiidhau njia uliyopitia awali..
hahahahahaha,ni kweli kbs,kubembeleza mrembo raha sanawatoto wazuri wanahitaji care kubembelezwa kuonesha kwamba wao ni wa thamank wanaitaji kupendwa sio kuendeshwa endeshwaa
Kwanza kuna mwingine ukimuambia ukweli anakukasirikia unaamua kupiga kimya.Akhsante sana mkuu! Mpaka uwe na wakukusikikiza sasa wengine akishawaza chini tu hasikii la kuambiwa ni kumrukia tu mwanamke na kumfakamia hana hata romance
Safi sana..Tutajirekebisha
Naona unajifunza maujanjaUnaona sasa, hapa ndipo inferiority inatumaliza sie kina average Joe! Ila bwana mi sikubali, ule ushauri wako nimeuchukuasema hapo kwenye kidevu sijui ulimaanisha kinatumikaje..teh!
Ni Wewe kweliπππNguvu zisingekuwepo tusingekuwa na michepuko kila kona. Na kwa michepuko huko ndo kwenye gemu za purukushani sasa. Njia kuu sana sana ni kulala tu na kupumzika
Humu kuna english figure za kutosha kumbe!!Ngoja nibadirishe mada
Haya selfikaa
Portable hoyeeee
Kuna watu naona wanataka kutuharibia humu
Naamini hii ni Kejeli mkuu najua unataniaπππ!!Unaona sasa, hapa ndipo inferiority inatumaliza sie kina average Joe! Ila bwana mi sikubali, ule ushauri wako nimeuchukuaπ π sema hapo kwenye kidevu sijui ulimaanisha kinatumikaje..teh!
Kaka kale brisket ntakuja kulipaMimi nimedeti na wazungu...
Wajua tofauti ilipo kati ya wazungu na nyie dada zetu?
Wazungu wako open sana. Yaani anakwambia laivu nini cha kufanya na wapi pa kukomalia ili afike kileleni...I like this...a lot. If you do it this way, I will come quickly and hard...yaani unapewa codes zote na kazi yako inakuwa nyepesi tu yaani...
Sasa nyinyi dah! Unajua kabisa braza hakufikishi kwa sababu hajaujua mwili wako vizuri. Na mko tofauti sana kila mmoja na mahitaji yake. Mkaka wa watu anahangaika weee huku na kule hakuna kitu. Halafu unatoka hapo unalalamika eti huyu jamaa bure kabisa. Mbona tu usimpe funguo za sefu ya mwili wako zilipo mkafurahia na kuokoa muda na kuondoa hizi frustrations na malalamiko yasiyo ya lazima.
Mi naulizaga tu. Eee bana eeh! Mi sitaki kutoka mijasho ya bure hapa. Nini kifanyike? Wapi pashughulikiwe? Tumalize hii gemu...au leo tufurahishane tu na lo lote litakalotokea litokee i.e. mechi zisizo na malengo...
Nyie mabinti wasomi...you can change the game...for the better!
π πNgoja nibadirishe mada
Haya selfikaa
Portable hoyeeee
Kuna watu naona wanataka kutuharibia humu
Aongeze na balimi tano za baridi Shimba ya BuyenzeKaka kale brisket ntakuja kulipa
Eti hunifikishi kileleni. Nitakufikishaje sasa wakati mwili wako siujui na sijakuzoea? Si unambie tu tumalize kesi?Hawa wabongo matapeli tu
Ukijua bembeleza unapiga sana hawa watuhahahahahaha,ni kweli kbs,kubembeleza mrembo raha sana
KabisaHakika, kika mmoja na taste yake, kila mtu asimame anapoona anafurahia.