Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,222
- 50,170
Hapo kwenye kitambi😂😂😂Ooh sahihi
Kabisa huwa sipendi nguo inibane ..hivyo hizi za kujiachia ndo nazipendaga .
Ata ule vipi haikutoi kitambi![]()
Hapo kwenye kitambi😂😂😂Ooh sahihi
Kabisa huwa sipendi nguo inibane ..hivyo hizi za kujiachia ndo nazipendaga .
Ata ule vipi haikutoi kitambi![]()
Tujiachie tu yaaniHapo kwenye kitambi![]()

Hivi hili suala ni kweli? nipe connection mkuu, maisha yenyewe mafupi.
Ukifanikiwa nishtue na mieHivi hili suala ni kweli? nipe connection mkuu, maisha yenyewe mafupi.
Em shusha picha kwa chini kidogoKitambi
St AnneView attachment 2253105
Maelezo tutayatoa kwa Mungu Mbinguni.
Tusipeane kazi ya kujibu tuhuma utadhani kiama imefika sasa..
Aisee kumbe sipo peke yangu, mkuu usijali.Ukifanikiwa nishtue na mie
😂😂😂Tujiachie tu yaani
Hakikwepeki maadamu umependeza inatosha
Kuna nguo naipenda nilivaa mara moja nataka kuigawa nikiona kila siku napata hasira ...Kitambi kinajichora kabisa![]()
Ah kuwa comfortable , maisha ni haya haya
Najiangalia hapa kitambi kilivyotuma na hiki kitenge nacheka tu mwenyew
Kuna nguo zinachora adi unajishtukia yaani

Hivi hili suala ni kweli? nipe connection mkuu, maisha yenyewe mafupi.

Mie hata wakitaka machine nawaachia tu 😀😀Aisee kumbe sipo peke yangu, mkuu usijali.
😁😁Mshindweee
Na changu hvyo hvyo hapa nimekaa ndio kitambi kimechomoza, nkisimama kutembea fresh.Ah kuwa comfortable , maisha ni haya haya
Jana nilivaa kigauni fulani najua sio sema
nalipenda ukisimama hkuna shida ila ukikaa tu hicho kinajichojokeza
Hicho kitambi tafadhali kiache kipo sex sanaaa 😁😁😁Na changu hvyo hvyo hapa nimekaa ndio kitambi kimechomoza, nkisimama kutembea fresh.
Hii miili yetu bana ukiifatilia sana utashindwa kuvaa nguo nzuri
Hahaha unakaa kiubishi tuNa changu hvyo hvyo hapa nimekaa ndio kitambi kimechomoza, nkisimama kutembea fresh.
Hii miili yetu bana ukiifatilia sana utashindwa kuvaa nguo nzuri
kitambi noma
Vinatuharibia kutwa kuchomoza tu