Anaweza kuacha, kama anapiga chupa 10 daily anaanza kupiga 7 au 5 anaenda kama wiki 2, anaanza kupiga 3 anaenda wiki 2 ama 3 anaanza 1 kila baada ya siku 2 n.k, ni ka utaratibu tu na inabidi uwe na nidhamu kweli kweli.
Ujue kilevi umetumia miaka mi 5 huwezi acha kwa wiki 1.
Mi mwenyewe kuna muda nilikua nazipiga bottles acha kabisa, mama yangu mkubwa zilipompoteza kwa ugonjwa ini, nikaona pombe ni ushenzi, leo hii nakunywa social, either kwenye events tu, naweza kaa miezi sijanywa.
Fortnox