Selfika na JF: Snap it. Show it

Sie Wazee tunaenda kulala mjomba niwatakie usiku mwema wapendwa katika bwana!!πŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸ˜΄πŸ˜΄
Amina shangazi. Mungu anakupenda, Mungu na akulinde na kila neno baya, kila dua mbaya na kila macho mabaya na kila kinywa kitamkacho laana na mabaya zidi yako na laana na hayo mabaya na yakawe juu yake. Shangazi yangu ukawe na njozi njema
 
Mungu alitupa gift , Mungu alitupendelea kutupa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Nakuelewa sana mkuu, kuna Mengi sana ya kujifunza kutoka kwa Mwalimu. Taifa limeshindwa kulinda na kutunza legacy yake

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…