Yaan napenda maisha ya uswazi, nliendaga buzaaa woiiiii, tulifka hapo sehem wanachoma mishikak, chips, miguu ya kuku, supu, wee nilichachuka na mastory had wenyeji wakawa wananiuliza wee unaish temeke,
Amenifuata PM kasema anaomba usimroge, eti vocha yako ilikaa sana akaona ajaribu kuingiza ikaingia. Amesema kesho tufunge kwa maombi ili usimroge. Na alijua umeshaokoka siku hizi