Haya sasa ndio maneno...umeoonge kama mwanaume. Vipi sasa kuwa mkweli hapa selfika unaona yupi anafaa kutulia kwenye range rover lakoπ€£π€£π€£π€£π€£
π€£π€£π€£Weww acha kumbwela mbwela kodume huyo na range ebu jisogeze karibu ule maisha...kuwa na mke kusikuogopeshe bwana....au wee hutaki tako lako litengenywe na leather ya range roverπ€£π€£π€£π€£π€£
ππ Mie humu namba moja wangu ni Nuzulati uzuri wa mtu upo machoni kwa atazamae... sijui nyie mnasemaje au mnaonaje π π π tukiunganisha kamba na sie tutaweza
Wewe sie wanaume bwana. Wanawake ndio wana roho mbaya hawapendani ila sie bila kinyongo wee chagua mrembo hapa au ata ukitaka uwagegedue wote sawa tuu si kisu unacho bwana