Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,151
- 28,874
Ahahahahπ tusifike kwenye kulogana nduguThanks sana mkuu ila kuna mdau hapa kalamba vocha yangu ya zawadi ya happy birthday to me too kwa Mjep
Mimi anirudishie tu vocha hapa sitaki kuroga mtu
Karibu vipo vya kutoshaNaomba kidogo!
Amenifuata PM kasema anaomba usimroge, eti vocha yako ilikaa sana akaona ajaribu kuingiza ikaingia. Amesema kesho tufunge kwa maombi ili usimroge. Na alijua umeshaokoka siku hizi π€£π€£π€£π€£π€£π€£Nataka tu kumjua tuu au ni mjukuu cocastic
Weeee kijana kwani unataka kuua mutoto wa watu?πLenie ππ usisahau kunibebe karanga, mihogo na nazi maziwa bado yapo mengiView attachment 2247448
Mkemia unacheka??? Chezea kurogwa
Kama kuna Mchungaji alikuwa anasema, wengine hapa mbinguni hamna makazi yenu, mtaishi kwenye vifua vya kina Ibrahim kama Lazaro.π π Nimekaa nasikiliza shuhuda za mtu mmoja anasema alienda mbinguni, akaoneshwa nyumba za saints na zinatofuatiana kutoka na kazi ambazo wamefanya, na kuna wengine waliopo duniani nyumba zao zingine hazijakamilika ..... nikaa nikawaza kwa akili zangu za ajabu ajabu
Nikajisemea kwa kuna watu ( wakristo wavivu ) wanaweza kwenda mbinguni ila wakawa wamasai wa watu kule wakalinda nyumba za watu au wakawa machokaraa wa mbinguni maana hawana makazi na hawakufanya juhudi ili makazi yao ya kule yajengwe au watakuwa mabeki tatu π π π
Heaven Sent
Christine1
Heri ya kuzaliwa iwe kwako mtani, upate baraka na heri na miaka mingi mingi uone hadi kizaz chako cha nne........π°π₯πΎHappy born day2 me Jr!View attachment 2246727
Weeee, ngoja nimuulize ndugu mlaji π€£π€£Nimecheka balaaaa.. halafu itakua ya elfu 5 au 10!!π€£π€£
Aisee warembo wa jf naona utawapelekea moto balaa...mzeya kisu cha warembo unachoπ€£π€£π€£π€£π€£Iringa kwetu kugema ulanzi View attachment 2247062
π π π hamna hataaa burudanii tu, usisahu basii.. alafu usikawiiiie sanaaaaa si unajua tenaWeeee kijana kwani unataka kuua mutoto wa watu?π
Kifuani ni mahala ambapo walitunzwa kwa mda tu, ( kifuani pa ibarahim sio parmant ) ila Yesu alisema naenda kwa Baba kuwaandalia makao, hayo makao yanatokana na kazi yako hapa duniani.. kama kazi nyonge unaweza jikuta unakuwa mmasai kule π π π mbinguni unakwenda ila unaishia kuwa masai au msaidizi wa kwa Job au Moses π π π Mawazo yangu tuu acha nilale sasaKama kuna Mchungaji alikuwa anasema, wengine hapa mbinguni hamna makazi yenu, mtaishi kwenye vifua vya kina Ibrahim kama Lazaro.
Aah amesema ilikuwa ni Tigo ya buku. Anajutaπ€£π€£Nimehisi tu Naamini Eng hawezi mpa babalao za bukubuku kama za kuna sie hapa!
Alikuwa anatutania tu akimaanisha like kuna watu watakosa hata makazi ya kupanga, watabebwa kwenye nyumba za wengine, unapewa chumba muishi na kukuKifuani ni mahala ambapo walitunzwa kwa mda tu, ( kifuani pa ibarahim sio parmant ) ila Yesu alisema naenda kwa Baba kuwaandalia makao, hayo makao yanatokana na kazi yako hapa duniani.. kama kazi nyonge unaweza jikuta unakuwa mmasai kule π π π mbinguni unakwenda ila unaishia kuwa masai au msaidizi wa kwa Job au Moses π π π Mawazo yangu tuu acha nilale sasa
Kuna watu wataenda mbinguni ila watakuwa wanalala vituo vya mwendokasi vya kule eeh πππAlikuwa anatutania tu akimaanisha like kuna watu watakosa hata makazi ya kupanga, watabebwa kwenye nyumba za wengine, unapewa chumba muishi na kuku
Bosi Ledi.Nimehisi tu Naamini Eng hawezi mpa babalao za bukubuku kama za kuna sie hapa!