DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,900
Mwenye nayoNani kaichukua
Mwenye nayoNani kaichukua
Nimekuona kulee unabet
Fanya kweli mkuuSawa mkuu
niliona mtu ako na meno a Vampire pale tulipo cheka kwa pamoja..
Kwani kwenye kamati pale uliona mtu ako na mapembe?!

Napitaga tu kuwasalimia eti mimi. Kigori siwezi fanya hivyo bila ruhusa yako.











Wala jana hatukucheka wote bana, kumbuka vizuriniliona mtu ako na meno a Vampire pale tulipo cheka kwa pamoja..![]()
Haya mkuuFanya kweli mkuu
HAPANA kwa kweli!Au unaniruhusu niende![]()
Njoo sasa niko huku naogelea! Kili Wonders
ahahaa uko ni hatari faya uko mwenyewe au nisije nikachezea za usoYaani wewe bwana
ahahaa uko ni hatari faya uko mwenyewe au nisije nikachezea za uso







Acha woga wako bana, Njoo Kili Wonders!


jaman jaman Mungu anipe nini kijana wake mie...gunia la chawa nijikune BIG NOOO....Nakuja..





Lete namba sasa ya m pesaNyingi nyingi jamani kwenye m pesa![]()
Wala jana hatukucheka wote bana, kumbuka vizuri
tupieni picha punguzeni maneno wadau
nimtafute nani?Tafta na wewe wako..