yaan iko hivi,
Kuna wanaume wasumbufu, hawaeleweki, au hawajali ktk mahusiano, sasa bint abiud ndo akasema ikifikia hivyo huwa hatazami nyuma anaachia ngazi, labda awe na pesa wa kutuma miamala ndo kidogo anaweza ku delay.
Mie ndo nkajibu, wa miamala huwa haachwi analizwa kimya kimya.