Selfika na JF: Snap it. Show it

sura personal khaaaa
 
Kama kuna mtu humu ana kg zaidi ya 70 na anataka kupungua tr 20 june, tuanze fasting na keto diet

Mlo wa jioni ni ndizi mbivu nusu tu,, na fasting hyo ni for 14 days

Siku 3 za kwanza itakuwa ngumu mno lakini on the 4th day baada ya ketosis kuanza itakuwa easy peasy

Kama u are pregnant au una matatizo ya kiafya challenge hii usifanye,,

Any volunteers for science??
 
Embu piga self tuone
 

Oh nimetamani aisee
Napunguza kilo ngapi baada ya hiyo fasting ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…