We umekubalije kudhalilishwa kabisa tena mbele ya mrembo mwenye shape lake! 🤣🤣 Usikubali mkuu lipiza aisee 😂 amekuaibisha kwa kweli na vile huna baya na mtu 😞
Acha uchochezi poker !!! Itakua Unapenda ligi mkuu selfika ni utu na utulivu hizo ligi tuwaachie makapu!!
Haya tulieni hivohivo mlivo napita naked kabisa!!
We umekubalije kudhalilishwa kabisa tena mbele ya mrembo mwenye shape lake! 🤣🤣 Usikubali mkuu lipiza aisee 😂 amekuaibisha kwa kweli na vile huna baya na mtu 😞
Hahaha hayo ya kuchocheana tumewaachia wavulana mkuu...povu langu huwa halitoka hovyo nikiamua kutoa povua huwa nakuoatia na sabuni kabisa ya kufulia mwezi.
So usitegemee nikurupuke kutoa povu hovyo😂
Pia uelewe kuwa siku hazifanani unaweza kumtania mtu kwa uzuri kumbe ana hasira alipotoka ukaishia kupigwa jiwe😆😆
Acha uchochezi poker !!! Itakua Unapenda ligi mkuu selfika utu na utulivu hizo ligi tuwaachie makapuku!!
Haya tulieni hivohivo mlivo napita naked kabisa!!
Hahaha hayo ya kuchocheana tumewaachia wavulana mkuu...povu langu huwa halitoka hovyo nikiamua kutoa povua huwa nakuoatia na sabuni kabisa ya kufulia mwezi.
So usitegemee nikurupuke kutoa povu hovyo😂
Pia uelewe kuwa siku hazifanani unaweza kumtania mtu kwa uzuri kumbe ana hasira alipotoka ukaishia kupigwa jiwe😆😆
Hahaha hayo ya kuchocheana tumewaachia wavulana mkuu...povu langu huwa halitoka hovyo nikiamua kutoa povua huwa nakuoatia na sabuni kabisa ya kufulia mwezi.
So usitegemee nikurupuke kutoa povu hovyo😂
Pia uelewe kuwa siku hazifanani unaweza kumtania mtu kwa uzuri kumbe ana hasira alipotoka ukaishia kupigwa jiwe😆😆